Tuesday, December 5, 2017

TEHAMA CLASS TRAINING CENTER

BAADHI YA WANAFUNZI WA "TEHAMA CLASS CENTER"

SOTE TWENDENI "TEHAMA"


 SEHEMU YA DARASA LA "TEHAMA"

KARIBUNI TEHAMA

(TEHAMA IKIWEZESHWA INAWEZA).

Picha Maelezo Na: SEIF, J. SEIF
www.tehamaclasstz.com






KARIBU KATIKA KITUO CHETU CHA "TEHAMA"...

Kwa Elimu Nzuri Na Sahihi Ya Kujifunza TEHAMA" KWA MTOTO WAKO MLETE KATIKA KITUO CHETU AJUMUIKE NA WATOTO WENZAKE_ NA Ikumbukwe Kwa Watoto Walio kuanzia DARASA LA KWANZA Mpaka La Darasa La TATU ..KWA SHULE ZA MSINGI, MASOMO YAO YANATOLEWA "BURE KABISA".. NA RATIBA YAO NI SIKU ZA "JUMAMOSI NA JUMAPILI"...

Watoto Wakijifunza :NINI MAANA YA "NGAMIZI"...
WATOTO NA "TEHAMA".......





                                                  HUJACHELEWA MLETE MWANAO..
                                                 (TEHAMA IKIWEZESHWA INAWEZA)

Picha Maelezo Na: SEIF J SEIF
www.tehamaclasstz.com

KATIKA KUHAKIKISHA ELIMU HII YA "TEHAMA"INAWAFIKIA WATU POPOTE PALE WALIPO .

TIMU NZIMA YA TEHAMA- ILIWEZA KUTOKA NA KWENDA KUWAHAMASISHA WATU MBALIMBALI KUHUSU ELIMU HII YA TEHAM...


Direkta Kiongozi wa Timu Nzima Ya Tehma Class..Bw: Rajab Mustafa akiendesha semina ya Uhamasishaji wa Somo La Tehama.


AWAMU MPYA YA HARAKATI ZA TEHAMA CLASS-TZ

WAPENZI NA WADAU WETU WA TEHAMA-CLASS TZ, KARIBUNI KATIKA BLOG YETU HII, KWA UPDATE -MBALIMBALI NA MATUKIO YANAYOJIRI KATIKA KUELEKEA AWAMU HII YA "PILI" YA UZINDUZI RASMI WA KITUO CHETU CHA UHAMASISHAJI,WA SOMO LA TEHAMA KWA KAYA NA TAIFA,..................................................

                                           (TEHAMA IKIWEZESHWA INAWEZA)