Saturday, November 19, 2016

TEHAMA CLASS TZ PAMOJA NA CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA

KUELEKEA KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA SKAUTI AFRICA NA MIAKA 100 YA SKAUTI TANZANIA , TEHAMA CLASS INAKULETEA, MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA:

Na: Seif.J.Seif
#tehamaclass Media
www.tehamaclasstz.com
                       #Kamishna Mkuu, Wa SKAUTI TANZANIA, Mhe: ABDULKARIM SHA'A.
#KAMISHNA MKUU Wa,SKAUTI TANZANIA, Mhe: ABDULKARIM SHA'A (wa kwanza Kulia) Akiwa na Vijana Wa Tehama Class, katika Kuhakiksha Mambo yanaenda vizuri.
#MKURUGENZI NA DIRECTA MKUU WA TEHAMA CLASS, Ndgu: MUSTAFA RAJAB. Akitoa Maelekezo kwa Vijana wake, kwa Ajili ya Kuhakikisha Mambo yote Yanakwenda Sawa ,
#kwa Upande wa I.T TECHNICAL wa TEHAMA CLASS  Ndgu:FADHIL RASHID Alichukua nafasi yake 
#Editor Mkuu Wa TEHAMA CLASS,Ndgu JAFFAR CHING'S ,Akiiandaa mitambo kwa ajili Kurekodi Tukio hilo.  
#Vijana Wa Tehama Class :Upande wa Kamera Man hapo ni, Ndgu; MOHAMMED KHASY, na wa pembeni yake ni Mwana Blog ,Ndgu SEIF J. SEIF  Wakiwa kwenye Majukumu yao 
#Production Manager wa Vipindi wa TEHAMA CLASS, Dada; GRACE JONES, akiwa Makini katika kufanikisha Projecti hiyo  Ndani ya Makao Makuu ya Chama Cha SKAUTI TANZANIA.
#DIRECTA MKUU wa TEHAMA CLASS Ndgu:MUSTAFA RAJAB Akiwa pamoja na BAADHI ya Viongozi wa CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA, Ndani ya Makao Makuu ya Chama Hicho,Upanga Jijini D.S.M
#KAMERA YA TEHAMA CLASS,Ikiwa Tayari Kukamilisha Matukio
#Muwakilishi wa vijana wa SKAUTI  Wilaya Ya Ilala D.s.m
 #TIMU NZIMA YA TEHAMA CLASS, Ilikuwepo Eneo la Location, Wakiongozwa na Directa MUSTAFA RAJAB,pamoja Production Manager; GRACE JONES.

www.tehamaclasstz.blogspot.com
#tehama Yetu Tanzania











TEHAMA CLASS TZ PAMOJA NA WADAU WAKE WAKIWA PAMOJA

MATUKIO KWENYE PICHA  TEHAMA CLASS TZ

NA :SEIF.J.SEIF
#TEHAMA CLASS- TZ, MEDIA 
www.tehamaclasstz.com
#Wadau Mbalimbali wa TEHAMA CLASS Wakisikiliza Nasaha za MWENYEKITI Wa Bodi ya Usimamizi wa kituo Mhe: RAJABU MWILIMA

Mzee Yebba na Sheikh SILIMA 
Mhe: RAJABU MWILIMA ambaye pia ndio Mwenyekiti Wa Bodi ya Tehama Class akiwa pamoja na  Mhe: DIWANI WA MABIBO  Ndgu: KASSIM LEMA  Wakibadilishana Mawazo
Sheikh SILIMA, Akitoa Nasaha zake Kwa Washiriki  na Wadau wa TEHAMA CLASS
hafla hiyo ilifanyika jijini MABIBO jijini Dar es salaam
Mhe: Dada PILI CHANDE  Naye kwa pamoja Aliweza kujumuika na WanaTEHAMA ktk Tukio hilo la Tafrija Baada ya Uzinduizi wa Kituo Kufanyika Mabibo D.S.M
Mkurugenzi wa Kituo cha TEHAMA CLASS TZ Ndgu RAJABU MUSTAFA Akieleza jambo kuhusu kituo hicho Wadau Mbali mbali Waliohudhuria Shughuli hiyo Maalum 
FADHIL RASHID akielezea jambo kuhusu Faida za MATUMIZI YA MTANDAO katika Ulimwengu wa sasa hivi
Hamdan Shirima Akielezea jambo la kuhusu Teknolojia na umuhimu wake katika Upande wa Mambo ya Afya.
MwanaTEHAMA CLASS Ndgu;Jaffari Akiwachukua Matukio Kwa Ajili  Ya Documentari

MWANA BLOG :SEIF J.SEIF  (KATIKATI) Akiwa na, Wadau wa TEHAMA CLASS T Z, Kutoka Kulia ni, Ndgu:MOHAMMED SEMPA , Anayefuatia Ni Ndgu: ABUU, NA wa Kwanza Kutoka Kushoto NI, Ndgu: KULWA Muslim
picha ya Pamoja kati ya Mhe: Rajab Mwilima na Wadau Wa Tehama Class Tz.

www.tehamaclasstz.blogspot.com
#Tehama yetu Tanzania